• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MHESHIMIWA ANGELLAH KAIRUKI ( MB ) AMEZINDUA MAONESHO YA UTALII KARIBU KUSINI 2023 KATIKA VIWANJA VYA KIHESA KILOLO IRINGA TAREHE 23/ 9 / 2023.

Posted on: September 26th, 2023

Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia, Mradi wa Kuendeleza Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW) itajenga kituo cha kutoa taarifa za utalii za Ukanda wa Kusini mwa Tanzania katika eneo  la Kihesa Kilolo Mkoani Iringa.


“Ujenzi unatarajiwa  kutumia zaidi ya Shilingi bilioni 18. Zabuni ya Ujenzi wa Mradi imetangazwa  tarehe 5 Septemba, 2023 na Mkataba kwa ajili ya kuanza ujenzi unatarajiwa kusainiwa mwanzoni mwa Mwezi Novemba, 2023.

 Ujenzi wa kituo utakuwa wa miezi 12.”


Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Angellah Kairuki ( Mb) alipokuwa akizindua maonesho ya Utalii Karibu Kusini 2023 katika viwanja vya Kihesa Kilolo Iringa tarehe 23/9/2023


Amesema Rais Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa Balozi na kinara namba moja wa kukuza Utalii na Uwekezaji nchini kupitia Kampeni ya Tanzania The Royal Tour” hivyo lazima tumuunge Mkono Mheshimiwa  Rais kwa kutangaza vivutio vya Utalii na kuvuta Wawekezaji ili kukuza na kuongeza Pato la Taifa.


Ameongeza kuwa kwa mwaka wa Fedha 2022/2023 Sekta ya Utalii  imevunja rekodi kwa kuwa na ongezeko ambalo halijawai kutokea, kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 jumla ya watalii 1,638,850 waliliingizia Taifa jumla ya Shilingi bilioni 522.7 ikilinganishwa na watalii 1,123,130 walioingizia Taifa Shilingi bilioni 290.4 mwaka wa fedha 2021/2022. Hii ni sawa na ongezeko la asilimia 45.9 ya watalii na mapato ya asilimia 80



Akitoa taarifa ya Maonesho ya Utalii Karibu Kusini Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mheshimiwa Halima Dendego amesema Mikoa 10 kutoka nyanda za juu Kusini ndio waratibu wa Maonesho haya na jumla ya washiriki 130 wameshiriki. Viongozi mbalimbali wa wakiwemo, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, wakurugenzi, viongozi wa Taasisi pamoja na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi wameshiri uzinduzi wa Maonesho ya Utalii Karibu Kusini 2023 mkoani Iringa.



Maonesho ya Utalii Karibu Kusini yalianza rasmi mwaka 2019 ambapo mpaka sasa ni mzunguko wa nne tangu kuanza kwake. Kwa mwaka huu  2023 maonesho yatakuwa kwa siku 5 kuanzia tarehe 23-27.


Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.