• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WENYEVITI WA VIJIJI,MTAA NA VITONGOJI WATAKIWA KUTENDA KAZI KWA USAWA HAKI NA KUFUATA SHERIA.

Posted on: January 17th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe,DK Linda Salekwa akifungua mafunzo kwa Wenyeviti wa Vijiji,Mitaa na Vitongoji wa Halmashauri ya Mji Mafinga wenye lengo la kuwajengea uwezo katika utekelezaji wa majukumu yao Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Mji Mafinga Leo 15/01/2025 ambapo amewataka kufanya kazi kwa Weledi na kufuata Sheria za Nchi kwani hakuna ambaye Yuko juu ya Sheria na pia amewataka kuhakikisha kila Mtoto aliyefikisha umri wa Kuanza shule katika maeneo Yao wahakikishe Wazazi wanawapeleka Shule kwani Elimu bure hivyo hakuna kisingizio chochote .


“Naomba mkafanye kazi kwa kushirikisha Wananchi wote bila kujali itikadi za kisiasa walizonazo hata kama ni tofauti na yako.” Amesema Mhe,Dkt Linda Salekwa


Aidha Mafunzo haya yaliyoandaliwa na Halmashauri ya Mji Mafinga na Kushirikiana na Wataalamu kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa-Hombolo Mhadhiri Boniface Kumburu kutoka Chuo icho amewasisitiza katika mada ya Uongozi na Utawala Bora kama Viongozi wanatakiwa kuonyesha njia ya mafanikio katika kutatua matatizo katika eneo husika na pia amewataka kukataa Rushwa kwa maneno na matendo.


Pia Jonas Kapwani Mhadhiri Kutoka Chuo cha Hombolo amewataka wasiwe sababu za migogoro kwenye maeneo yao kwani lengo la Serikali ni Ustawi wa Wananchi na amewakumbusha Madaraka waliyonayo wamepata kwa Wananchi ndio mana wakapigiwa Kura hivyo ni muhimu kuwa chanzo cha Amani na Mshikamano kwenye maeneo yao.


Mbali na hayo wamejifunza kuhusu Usimamizi wa Ardhi na mipaka yao katika utendaji.


Anna Mdehwa,

Afisa Habari.

Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • VITUO VYOTE VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA VIFUNGWE MFUMO WA GoT-HOMIS

    June 20, 2025
  • HALMASHAURI YA MJI MAFINGA YAPATA HATI SAFI YA UKAGUZI KUTOKANA NA TAARIFA YA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG) KWA HESABU ZINAZOISHIA TAREHE 30 JUNI 2024

    June 19, 2025
  • HALMASHAURI YA NKASI YAITEMBELEA MAFINGA MJI KUBADILISHANA UZOEFU

    June 18, 2025
  • MWANZA NA DODOMA ZATINGA FAINALI SOKA WAVULANA UMITASHUMTA 2025

    June 17, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.