• Malalamiko |
    • Wasiliana na sisi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
Mafinga Town Council
Mafinga Town Council

Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Mji wa Mafinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Organization Structure
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Kilimo na umwagiliaji
      • Fedha
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu ya Sekondari
      • Elimu ya Msingi
      • Afya
      • Ardhi na Maliasili
      • Community Development,Social welfare Gender and Youth
      • Water
      • Work
    • Vitengo
      • Community
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Manunuzi na Ugavi
      • Uchaguzi
      • Huduma za Kisheria
      • Biashara
  • Fursa Za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa madiwani
    • Kamati Za Kudumu Za Halmashauri
      • Fedha Na uongozi
      • Mipangomiji Namazingira
      • Uchumi, Fedha Na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao Vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana Na Mwenyekiti
  • Miradi Mbalimbali
    • Progressive projects
    • Itakayo Tekelezwa
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Mkataba wa Huduma Kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Machapisho ya Habari
    • Videos
    • Hotuba
    • Makitaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Malalamiko

WIZARA YA ELIMU YAKABIDHI VIFAA VYA TEHEMA

Posted on: February 10th, 2025

Mheshimiwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kupitia Serikali yake ya Awamu ya Sita imetujengea Miundombinu Mizuri ya Madarasa na kutuletea vifaa vya kujifunzia kama leo tumepokea Kompyuta 8, ( LENOVO) kompyuta mpakato moja na Projekta 1 kutoka Wizara ya Elimu chini ya mpango wa SEQUIP, yote haya hayatakuwa na maana kama wanafunzi watakuwa hawahudhurii masomo na wanafeli. Tushirikiane wazazi na Walimu kuhakikisha maendeleo ya wanafunzi wetu yanakuwa mazuri na ufaulu unaongezeka”


Kauli hiyo imetolewa na Mheshimiwa Denis Kutemile Diwani wa Kata ya Saohill alipokuwa akizungumza na wazazi kwenye mapokezi ya vifaa vya Tehama kutoka Wizara ya Elimu kwenye Mpango wa SEQUIP.


Amesema Vifaa hivyo vitasaidia kuongeza Ufaulu kwa wanafunzi kwani mitihani itachapishwa hapo na kurahisisha mikutano na kuongea ujuzi kwa wanafunzi katika sekta ya Tehama.


Naye Bi. Daines Msola Diwani wa viti maalumu na Mlezi wa Kata ya Saohill amesema ili watoto wafaulu inahitaji ushirikiano na malezi ya Wazazi na Walimu, bila ushirikiano na kuwafuatilia watoto kuwapekua, kukagua madaftari yao wanapotoka shule ni kumpoteza mtoto kwani bila kufuatiliwa ufaulu wao unafifia.


“ Wazazi niwaambie , kutochangia Chakula cha wanafunzi mashuleni na kutowapa mavazi kama vile Uniform huo ni Ukatili, Nawaomba wazazi na walimu tutimize wajibu wetu na tusimame kwenye nafasi zetu kama wazazi”


Akizungumza Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Mji Mafinga Mwalimu Stephen Shemdoe amesema ufuatiliaji wa Chakula cha mchana kwa wanafunzi na mahudhurio ya wanafunzi vitakuwa dhamani yake lengo likiwa ni kuhakikisha ufaulu wa wanafunzi shuleni hapo unaongezeka.


“Tujiulize kwanini wanafunzi wanafeli, tatizo liko wapi? Wazazi tunawaachia walimu kufundisha wanafunzi na kuwalea hii sio sawa, lazima tufuatilie maendeleo ya wanafunzi wetu mashuleni”


Shule ya Sekondari Saohill yenye wanafunzi 273 imejengwa na fedha kutoka Serikali Kuu kiasi cha Shilingi Milioni 470 kwa mpango wa SEQUIP


Imeandaliwa na

Sima Mark Bingileki

Afisa Habari Mkuu




Matangazo

  • NAFASI ZA MASOMO KWA SHULE YA CHIEF MKWAWA ENGLISH MEDIUM- HALMASHAURI YA MJI MAFINGA. NAFASI BADO ZIPO TUPIGIE January 29, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YANAPATIKANA www.mafingatc.go.tz July 13, 2024
  • MJI MAFINGA YAVUKA LENGO UKUSANYAJI MAPATO YAKUSANYA ASILIMIA 113 KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024 August 14, 2024
  • MATOKEO YA DARASAM LA SABA 2024 YANAPATIKANA KWENYE TOVUTI YETU .www.mafingatc.go.tz October 30, 2024
  • View All

Habari mpya

  • TUME HURU YA TAIFA YA UCHAGUZI IMEENDESHA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA KWA AWAMU YA PILI JIMBO LA MAFINGA MJINI

    May 02, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 KATIKA HALMASHAURI YA MJI MAFINGA UMEPITIA JUMLA YA MIRADI 11 YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 3.1

    May 01, 2025
  • MBUNGE WA MAFINGA MJI AKABIDHI MITUNGI YA GESI

    May 01, 2025
  • View All

Video

SENSA NI MAENDELEO
Video zaidi

Viungo Vya Haraka

  • Maelezo na Form Ya kiapo cha uadilifu
  • https://matokeo.necta.go.tz
  • Muongozo wa matumizi ya TEHAMA serikalini

Tovuti Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Utumishi
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Tamisemi
  • Tovuti ya wananchi

Watembeleaji kidunia

world map hits counter

Idadi ya watu wanao tembelea Tovuti

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana na sisi

    Mafinga Town.

    Postal Address: Po.Box 76 Mafinga

    Simu: +255 262 772 393

    Mobile: 026-2772393

    Barua Pepe: td@mafingatc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Disclamer
    • Maswali
    • Sitemap
    • Huduma

Copyright ©2018 Mafinga Town Council . All rights reserved.