Posted on: June 13th, 2022
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro alifika eneo la Changarawe Mjini Mafinga ilipotokea ajali iliyopoteza maisha ya watu 20 na kusababisha majeruhi 7.
IGP Simon Sirro ametoa maagizo kwa ...
Posted on: June 13th, 2022
Mashindano ya UMITASHUMTA katika Halmashauri ya Mji Mafinga yamefanyika katika kanda sita.
Kanda hizo ni kanda ya Bumilayinga, Kinyanambo, Kanda ya Kati, Kanda ya Rungemba, Isalavanu na kanda ya Ki...
Posted on: June 10th, 2022
Afisa Elimu sekondari Halmashauri ya Mji Mafinga Ndugu, Stephen Shemdoe amefungua michezo Kanda ya Bumilayinga ikiwa ni Maadalizi ya UMISETA Kiwilaya, lengo likiwa ni kuunda Timu ya Wilaya.
Kanda y...