Posted on: March 7th, 2023
Jumla ya vyandarua 80,540 vyenye viuatilifu vitagawiwa kuanzia leo tarehe 6/3/2023kwa wanafunzi wote wa Shule za Msingi 200 katika Wilaya ya Mufindi ambapo katika Halmashauri ya Mji Mafinga jumla ya s...
Posted on: March 7th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mheshimiwa Dkt. Linda Salekwa amewataka wanawake kujitathmini hususan katika malezi ya watoto. Amesema wazazi wengi hawazungumzi na watoto kiasi kwamba watoto wanakosa kupata...
Posted on: March 1st, 2023
Halmashauri ya Mji Mafinga ni moja kati ya Halmashauri zinazoongoza kwa ufaulishaji mkubwa wa Elimu ya awali,msingi na sekondari katika mkoa wa Iringa kwa miaka kwa miaka mitatu mfululizo ukilin...